1
Zekaria 7:9
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
“Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: ‘Fanyeni hukumu za haki, onesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi.
Linganisha
Chunguza Zekaria 7:9
2
Zekaria 7:10
Msimdhulumu mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’
Chunguza Zekaria 7:10
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video