1
Zekaria 6:12
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Umwambie hili ndilo asemalo BWANA wa majeshi: ‘Huyu ndiye mtu anayeitwa Tawi, naye atachipua kutoka mahali pake na kujenga Hekalu la BWANA.
Linganisha
Chunguza Zekaria 6:12
2
Zekaria 6:13
Ni yeye atakayejenga Hekalu la BWANA, naye atavikwa utukufu na ataketi kumiliki kwenye kiti cha enzi. Atakuwa kuhani kwenye kiti chake cha enzi. Hapo patakuwa na amani kati ya hao wawili.’
Chunguza Zekaria 6:13
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video