1
Zaburi 33:20
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Sisi tunamngojea Mwenyezi Mungu kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 33:20
2
Zaburi 33:18-19
Lakini macho ya Mwenyezi Mungu yako kwa wale wamchao, kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo, ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.
Chunguza Zaburi 33:18-19
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video