1
Zaburi 32:8
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; nitakushauri na kukuangalia.
Linganisha
Chunguza Zaburi 32:8
2
Zaburi 32:7
Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha, utaniepusha na taabu na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.
Chunguza Zaburi 32:7
3
Zaburi 32:5
Kisha nikakiri dhambi yangu kwako, wala sikuficha uovu wangu. Nilisema, “Nitaungama makosa yangu kwa Mwenyezi Mungu.” Ndipo uliponisamehe hatia ya dhambi yangu.
Chunguza Zaburi 32:5
4
Zaburi 32:1
Heri mtu aliyesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa.
Chunguza Zaburi 32:1
5
Zaburi 32:2
Heri mtu yule ambaye Mwenyezi Mungu hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu.
Chunguza Zaburi 32:2
6
Zaburi 32:6
Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu yatakapofurika hayatamfikia yeye.
Chunguza Zaburi 32:6
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video