Zaburi 32:8
Zaburi 32:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu asema: “Nitakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata. Nitakushauri kwa uangalifu mkubwa.
Shirikisha
Soma Zaburi 32Zaburi 32:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.
Shirikisha
Soma Zaburi 32Zaburi 32:8 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.
Shirikisha
Soma Zaburi 32