1
2 Samweli 12:13
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Ndipo Daudi akamjibu Nathani, “Nimefanya dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu.” Nathani akamjibu, “Mwenyezi Mungu amekuondolea dhambi yako. Hutakufa.
Linganisha
Chunguza 2 Samweli 12:13
2
2 Samweli 12:9
Kwa nini ulilidharau neno la Mwenyezi Mungu kwa kufanya lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga, na kumchukua mke wake awe mkeo. Ulimuua kwa upanga wa Waamoni.
Chunguza 2 Samweli 12:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video