2 Samueli 12:13
2 Samueli 12:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, Daudi akamwambia Nathani, “Nimetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu.” Nathani akamwambia, “Mwenyezi-Mungu amekusamehe dhambi yako, nawe hutakufa.
Shirikisha
Soma 2 Samueli 122 Samueli 12:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa.
Shirikisha
Soma 2 Samueli 12