BibleProject | Tafakari ya Ujio wa YesuSample

Tumaini la Biblia linamtegemea Yesu kwa kuwa ni yeye pekee anayeweza kutoa “tumaini lililo hai” kupitia kifo na ufufuo wake kwa wote wanaomwamini. Kwa maneno mengine, tumaini analotoa Yesu ni “hai” kwa sababu yeye mwenyewe yuko hai na hutoa uzima wa milele kupitia kwake. Tunapoweka tumaini letu kwake, hatutavunjwa moyo, na tutaishi naye milele.
Soma:
1 Petro 1:3-5
Tafakari:
Unagundua nini unavyosoma kifungu hiki?
Angalia jinsi kifungu hiki ni sifa inayoelekezwa kwa Mungu. Chukua muda kumsifu Mungu kwa sala yako mwenyewe.
Scripture
About this Plan

BibleProject ilibuni Tafakari ya Ujio wa Yesu ili kuhamasisha watu mmoja mmoja, vikundi vidogo vidogo, na familia kusherehekea majilio, au kuwasili kwa Yesu. Mwongozo huu wa wiki nne unashirikisha video za kikatuni, mihutasari mifupi, na maswali ya kutafakari ili kuwasaidia washiriki kuchunguza maana ya Biblia ya tumaini, amani, furaha, na upendo. Chagua mwongozo huu ili kujifunza jinsi maadili haya manne yamefika ulimwenguni kupitia kwa Yesu.
More
Related Plans

Drawing Closer: An Everyday Guide for Lent

Made New: Rewriting the Story of Rejection Through God's Truth

God in 60 Seconds - Fun Fatherhood Moments

Kingdom Parenting

Growing Your Faith: A Beginner's Journey

Hebrews: The Better Way | Video Devotional

Heaven (Part 1)

Be the Man They Need: Manhood According to the Life of Christ

Experiencing Blessing in Transition
