1
Marko 16:15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Kisha akawaambia: “Mwende katika dunia yote na kuhubiri Habari Njema kwa kila mutu.
Compare
Explore Marko 16:15
2
Marko 16:17-18
Nao wote watakaoniamini watafanya vitambulisho hivi: watafukuza pepo kwa jina langu; watasema kwa luga mupya; wakishika nyoka au kunywa sumu yoyote, hawatakufa. Wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
Explore Marko 16:17-18
3
Marko 16:16
Anayeamini na kubatizwa ataokolewa, lakini asiyeamini atahukumiwa.
Explore Marko 16:16
4
Marko 16:20
Nao wanafunzi wakaenda kuhubiri fasi zote. Bwana akatumika pamoja nao na kuhakikisha ukweli wa mahubiri yao kwa njia ya vitambulisho walivyofanya.]
Explore Marko 16:20
5
Marko 16:6
Lakini kijana yule akawaambia: “Musishituke! Munamutafuta Yesu wa Nazareti aliyetundikwa juu ya musalaba. Yeye amefufuka, hayuko hapa. Muangalie, hapa ni pahali walipomuweka.
Explore Marko 16:6
6
Marko 16:4-5
Lakini walipoinua macho, wakaona kwamba lile jiwe lilikuwa limekwisha kusukumwa pembeni. (Jiwe lile lilikuwa kubwa sana.) Basi wakaingia ndani ya kaburi, na mule wakaona kijana mumoja akiikaa upande wa kuume, akivaa kanzu nyeupe. Nao wakashituka.
Explore Marko 16:4-5
Home
Bible
Plans
Videos