Marko 16:4-5
Marko 16:4-5 SWC02
Lakini walipoinua macho, wakaona kwamba lile jiwe lilikuwa limekwisha kusukumwa pembeni. (Jiwe lile lilikuwa kubwa sana.) Basi wakaingia ndani ya kaburi, na mule wakaona kijana mumoja akiikaa upande wa kuume, akivaa kanzu nyeupe. Nao wakashituka.