Utapata mimba, utazaa mutoto mwanaume, na utamwita jina lake Yesu. Yeye atakuwa mwenye mamlaka, na ataitwa Mwana wa Mungu Mukubwa. Bwana Mungu atamuweka kuwa mutawala wa ufalme wa babu yake Daudi. Yeye atatawala taifa la Israeli hata milele, nao ufalme wake hautakuwa na mwisho.”