1
Marko 15:34
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
Compare
Explore Marko 15:34
2
Marko 15:39
Mukubwa wa waaskari aliyekuwa akisimama mbele ya Yesu, alipoona namna alivyokata roho, akasema: “Hakika mutu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
Explore Marko 15:39
3
Marko 15:38
Basi pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini.
Explore Marko 15:38
4
Marko 15:37
Lakini Yesu akalalamika kwa sauti kubwa, akakata roho.
Explore Marko 15:37
5
Marko 15:33
Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
Explore Marko 15:33
6
Marko 15:15
Kwa kuwa Pilato alitaka kuwapendeza watu, basi akawafungulia Baraba. Na kisha kuamuru wamupige Yesu fimbo, akamutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.
Explore Marko 15:15
Home
Bible
Plans
Videos