1
Mwanzo 43:23
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Yule msimamizi akawajibu, “Msiwe na wasiwasi, wala msiogope. Bila shaka Mungu wenu, Mungu wa baba yenu, ndiye aliyewarudishieni fedha katika magunia yenu. Mimi nilipokea fedha yenu.” Kisha akawaletea Simeoni, ndugu yao.
Vergelyk
Verken Mwanzo 43:23
2
Mwanzo 43:30
Ghafla, Yosefu akatoka mahali hapo, kwani machozi yalikuwa yanamlengalenga kwa shauku kubwa juu ya ndugu yake, akaingia chumbani mwake na kuangua kilio.
Verken Mwanzo 43:30
Tuisblad
Bybel
Leesplanne
Video's