Mwanzo 43:30

Mwanzo 43:30 SCLDC10

Ghafla, Yosefu akatoka mahali hapo, kwani machozi yalikuwa yanamlengalenga kwa shauku kubwa juu ya ndugu yake, akaingia chumbani mwake na kuangua kilio.

Video vir Mwanzo 43:30