1
Mwanzo 42:21
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Kweli sisi tulimkosea ndugu yetu. Ingawa tulimwona akisononeka rohoni mwake, sisi hatukumjali hata alipotusihi. Ndiyo maana taabu hii yote inatupata.”
Vergelyk
Verken Mwanzo 42:21
2
Mwanzo 42:6
Wakati huo Yosefu alikuwa ndiye mkuu huko Misri. Yeye ndiye aliyehusika na kuwauzia wananchi nafaka. Basi, kaka zake wakaja na kumwinamia Yosefu kwa heshima.
Verken Mwanzo 42:6
3
Mwanzo 42:7
Yosefu alipowaona kaka zake akawatambua, lakini akajifanya kana kwamba hawafahamu, akasema nao kwa ukali. Akawauliza, “Mmetoka wapi nyinyi?” Wakamjibu, “Tumetoka nchini Kanaani, tumekuja kununua chakula.”
Verken Mwanzo 42:7
Tuisblad
Bybel
Leesplanne
Video's