Mifano ya YesuMfano
![Mifano ya Yesu](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F42957%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Mfano Wa Msimamizi Mjanja
Yesu anatufunza katuwezi kutumikia bwana wawili. Hatuwezi kutumikia Mungu na pesa.
Swali 1: Kulingana na hadithi, unatakiwa kufanya nini na mali yako?
Swali 2: Yesu alimuita msimamizi mwenye akili kwa kutayarisha siku za usoni. Je, tunawezaje kuwa wenye busara kwa kujitayarisha kwa maisha ya milele?
Swali 3: Shida ya kutumikia mabwana wawili ni nini?
Andiko
Kuhusu Mpango huu
![Mifano ya Yesu](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F42957%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Yesu alitumia hadithi za vitendo na ubunifu kuelezea ufalme wa Mungu. Video fupi inaonyesha mojawapo ya mafundisho ya Yesu kwa kila siku ya mpango wa sehemu tisa.
More
Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg