Mifano ya YesuMfano
![Mifano ya Yesu](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F42957%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Mfano wa Mpanzi
Yesu ahadithia juu ya mkulima kuonyesha kuwa kuna matokeo tofauti kutokana na kusikiza juu ya ufalme wa mbinguni.
Swali 1: Je, wasiwasi za maisha, utajiri wa maisha, na anasa za maisha, zawezaje zuia watu kukubali neno la Mungu?
Swali 2: Unaweza kufanya nini ili uwe udongo mzuri?
Swali 3: Kwa vile mbegu ni Neno la Mungu na mchanga inamaanisha mioyo na akili za wanadamu, hadithi hii inaonyesha nini kuwa wajibu ya kanisa?
Andiko
Kuhusu Mpango huu
![Mifano ya Yesu](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F42957%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Yesu alitumia hadithi za vitendo na ubunifu kuelezea ufalme wa Mungu. Video fupi inaonyesha mojawapo ya mafundisho ya Yesu kwa kila siku ya mpango wa sehemu tisa.
More
Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg