Soma Biblia Kila Siku 8Mfano

Si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao(m.20). Hao ni kwa mfano sisi Wakristo wa leo. Habari Njema ya Yesu Kristo imezidi kuenea katika dunia nzima kama Yesu alivyoagiza katika Mt 28:18-20. Kama Yesu angaliwatoa Wakristo katika ulimwengu huu, Injili isingaliweza kuenezwa! Yesu hakuomba Mungu atutoe katika ulimwengu huu, kwa sababu kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo naliwatumahao ulimwenguni(m.18)! Yesu anakutuma!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 8 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku hasa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Kumbukumbu la Torati, na Yohana pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

Soma Biblia Kila Siku 9

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Soma Biblia Kila Siku 11
