Zaburi 35:27
Zaburi 35:27 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia, wapaaze sauti kwa furaha waseme daima: “Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno! Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.”
Shirikisha
Soma Zaburi 35Zaburi 35:27 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Washangilie na kufurahi, Wapendezwao na haki yangu. Naam, waseme daima, Atukuzwe BWANA, Apendezwaye na amani ya mtumishi wake.
Shirikisha
Soma Zaburi 35