Zaburi 35:10
Zaburi 35:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Nitamwambia Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote: “Wewe ee Mwenyezi-Mungu, hakuna aliye kama wewe! Wewe wawaokoa wanyonge makuchani mwa wenye nguvu, maskini na fukara mikononi mwa wanyanganyi.”
Shirikisha
Soma Zaburi 35Zaburi 35:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mifupa yangu yote itasema, BWANA, ni nani aliye kama Wewe? Umponyaye maskini kutoka kwa mtu aliye hodari kumshinda yeye, Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.
Shirikisha
Soma Zaburi 35