Zaburi 141:4
Zaburi 141:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Unikinge nisielekee kufanya mabaya, nisijishughulishe na matendo maovu; nisijiunge na watu watendao mabaya, wala nisishiriki kamwe karamu zao.
Shirikisha
Soma Zaburi 141Zaburi 141:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Usiuelekeze moyo wangu kunako jambo baya, Nisiyazoelee matendo yasiyofaa, Pamoja na watu watendao maovu; Wala nisile vyakula vyao vya anasa.
Shirikisha
Soma Zaburi 141