Mwanzo 42:35
Mwanzo 42:35 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ikawa walipomimina magunia yao, kumbe! Bahasha ya fedha ya kila mtu imo katika gunia lake. Nao walipoziona bahasha za fedha zao, wao na baba yao waliogopa.
Shirikisha
Soma Mwanzo 42Mwanzo 42:35 Biblia Habari Njema (BHN)
Walipokuwa wanamimina nafaka kutoka magunia yao, walishangaa kuona kila mmoja wao amerudishiwa kifuko chake na fedha ndani ya gunia lake. Walipoona hayo, wote pamoja na baba yao, wakashikwa na hofu.
Shirikisha
Soma Mwanzo 42