Wagalatia 6:8
Wagalatia 6:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uhai wa milele.
Shirikisha
Soma Wagalatia 6Wagalatia 6:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.
Shirikisha
Soma Wagalatia 6