Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 4:7

Zekaria 4:7 BHN

Tena, akaongeza kusema: “Je, mlima huu ni kizuizi? La! Wewe Zerubabeli utausawazisha. Wewe utaanzisha ujenzi mpya wa hekalu, na wakati utakapoliweka jiwe la mwisho, watu watashangilia wakisema, ‘Ni zuri! Naam, ni zuri!’”

Soma Zekaria 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zekaria 4:7