Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 22:3-5

Ufunuo 22:3-5 BHN

Hapana kitu chochote kilicholaaniwa kitakachokuwa katika mji huo. Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwanakondoo kitakuwa katika mji huo, na watumishi wake watamwabudu. Watauona uso wake, na jina lake litaandikwa juu ya paji za nyuso zao. Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, maana Bwana Mungu atawaangazia, nao watatawala milele na milele.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 22:3-5