Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 96:12-13

Zaburi 96:12-13 BHN

Furahini enyi mashamba na vyote vilivyomo! Ndipo miti yote misituni itaimba kwa furaha, mbele ya Mwenyezi-Mungu anayekuja; naam, anayekuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa kwa uaminifu wake.

Soma Zaburi 96