Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 96:12-13

Zaburi 96:12-13 NEN

mashamba na yashangilie, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha; itaimba mbele za BWANA kwa maana anakuja, anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa katika kweli yake.