Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 68:4-6

Zaburi 68:4-6 BHN

Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake; mtengenezeeni njia yake apandaye mawinguni. Jina lake ni Mwenyezi-Mungu; furahini mbele yake. Mungu akaaye mahali pake patakatifu, ni Baba wa yatima na mlinzi wa wajane. Mungu huwapa fukara makao ya kudumu, huwafungua wafungwa na kuwapa fanaka. Lakini waasi wataishi katika nchi kame.

Soma Zaburi 68

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 68:4-6