Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 68:4-6

Zab 68:4-6 SUV

Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake, Mtengenezeeni njia ya barabara, Apitaye majangwani kama mpanda farasi; Jina lake ni YAHU; shangilieni mbele zake. Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Mungu katika kao lake takatifu. Mungu huwakalisha wapweke nyumbani; Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa; Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu.

Soma Zab 68

Verse Images for Zab 68:4-6

Zab 68:4-6 - Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake,
Mtengenezeeni njia ya barabara,
Apitaye majangwani kama mpanda farasi;
Jina lake ni YAHU; shangilieni mbele zake.
Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane,
Mungu katika kao lake takatifu.
Mungu huwakalisha wapweke nyumbani;
Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa;
Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu.Zab 68:4-6 - Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake,
Mtengenezeeni njia ya barabara,
Apitaye majangwani kama mpanda farasi;
Jina lake ni YAHU; shangilieni mbele zake.
Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane,
Mungu katika kao lake takatifu.
Mungu huwakalisha wapweke nyumbani;
Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa;
Bali wakaidi hukaa katika nchi kavu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 68:4-6

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha