Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 22:23-24

Zaburi 22:23-24 BHN

Enyi mnaomcha Mwenyezi-Mungu, msifuni! Mtukuzeni enyi wazawa wote wa Yakobo! Mcheni Mungu enyi wazawa wote wa Israeli! Maana yeye hapuuzi au kudharau unyonge wa mnyonge; wala hajifichi mbali naye, ila humsikia anapomwomba msaada.

Soma Zaburi 22

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 22:23-24