Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 22:23-24

Zaburi 22:23-24 NEN

Ninyi ambao mnamcha BWANA, msifuni! Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye! Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli! Kwa maana hakupuuza wala kudharau mateso ya aliyeonewa; hakumficha uso wake bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 22:23-24