Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 18:46-49

Zaburi 18:46-49 BHN

Mwenyezi-Mungu yu hai! Asifiwe mwamba wa usalama wangu; atukuzwe Mungu wa wokovu wangu. Yeye ameniwezesha kulipiza kisasi; na kuyashinda mataifa chini yangu. Ameniokoa kutoka kwa maadui zangu, akanikuza juu ya wapinzani wangu, na kunisalimisha mbali na watu wakatili. Kwa hiyo nitakutukuza kati ya mataifa, ee Mwenyezi-Mungu nitaliimbia sifa jina lako.

Soma Zaburi 18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 18:46-49