Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 18:46-49

Zab 18:46-49 SUV

BWANA ndiye aliye hai; Na ahimidiwe mwamba wangu; Na atukuzwe Mungu wa wokovu wangu; Ndiye Mungu anipatiaye kisasi; Na kuwatiisha watu chini yangu. Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu wa jeuri. Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Soma Zab 18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 18:46-49