Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 150:1-5

Zaburi 150:1-5 BHN

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mungu katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu zake kuu. Msifuni kwa sababu ya matendo yake makuu; msifuni kwa ajili ya utukufu wake mkuu. Msifuni kwa mlio wa tarumbeta; msifuni kwa zeze na kinubi! Msifuni kwa ngoma na kucheza; msifuni kwa filimbi na banjo! Msifuni kwa kupiga matoazi. Msifuni kwa matoazi ya sauti kubwa.

Soma Zaburi 150

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 150:1-5