Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 105:2-4

Zaburi 105:2-4 BHN

Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu! Jisifieni jina lake takatifu; wenye kumcha Mwenyezi-Mungu na wafurahi. Tafuteni msaada kwa Mwenyezi-Mungu mwenye nguvu; mwendeeni Mwenyezi-Mungu daima.

Soma Zaburi 105