Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu, na kilio changu kikufikie. Usijifiche mbali nami wakati wa taabu! Unitegee sikio lako, unijibu upesi wakati ninapokuomba! Siku zangu zapita kama moshi; mifupa yangu yaungua kama katika tanuri.
Soma Zaburi 102
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zaburi 102:1-3
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video