Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 102:1-3

Zaburi 102:1-3 BHN

Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu, na kilio changu kikufikie. Usijifiche mbali nami wakati wa taabu! Unitegee sikio lako, unijibu upesi wakati ninapokuomba! Siku zangu zapita kama moshi; mifupa yangu yaungua kama katika tanuri.

Soma Zaburi 102

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha