Ee BWANA, usikie kuomba kwangu, Kilio changu kikufikie. Usinifiche uso wako siku ya shida yangu, Unitegee sikio lako, siku niitapo unijibu upesi. Maana siku zangu zinatoweka kama moshi, Na mifupa yangu inateketea kama kinga.
Soma Zab 102
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zab 102:1-3
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video