Zaburi 102:1-2
Zaburi 102:1-2 BHN
Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu, na kilio changu kikufikie. Usijifiche mbali nami wakati wa taabu! Unitegee sikio lako, unijibu upesi wakati ninapokuomba!
Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu, na kilio changu kikufikie. Usijifiche mbali nami wakati wa taabu! Unitegee sikio lako, unijibu upesi wakati ninapokuomba!