Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 21:25-26

Methali 21:25-26 BHN

Mvivu hufa kwa kutotimizwa tamaa zake, maana mikono yake milegevu haitaki kufanya kazi. Mchana kutwa mwovu hutamani kupata kitu, lakini mwadilifu hutoa, tena kwa ukarimu.

Soma Methali 21