Methali 10:21-22
Methali 10:21-22 BHN
Maneno ya mwadilifu huwafaa watu wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa akili. Baraka za Mwenyezi-Mungu ndizo ziletazo fanaka, juhudi za mtu haziongezi hapo chochote.
Maneno ya mwadilifu huwafaa watu wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa akili. Baraka za Mwenyezi-Mungu ndizo ziletazo fanaka, juhudi za mtu haziongezi hapo chochote.