Mithali 10:21-22
Mithali 10:21-22 NEN
Midomo ya mwenye haki hulisha wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu. Baraka ya BWANA hutajirisha, wala haichanganyi huzuni.
Midomo ya mwenye haki hulisha wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu. Baraka ya BWANA hutajirisha, wala haichanganyi huzuni.