Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 7:15-16

Mathayo 7:15-16 BHN

“Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La!

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 7:15-16