Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:3-4

Mathayo 6:3-4 BHN

Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo. Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.