Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 22:1-3

Mathayo 22:1-3 BHN

Yesu alisema nao tena kwa kutumia mifano: “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi. Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 22:1-3

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha