Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 21:12-13

Mathayo 21:12-13 BHN

Basi, Yesu akaingia hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu ndani ya hekalu; akazipindua meza za wale waliokuwa wanavunja fedha, na viti vya wale waliokuwa wanauza njiwa. Akawaambia, “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala.’ Lakini nyinyi mmeifanya kuwa pango la wanyanganyi.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 21:12-13