Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 21:12-13

Mathayo 21:12-13 SRUV

Yesu akaingia ndani ya hekalu, akawafukuza wote waliokuwa wakiuza na kununua hekaluni, akazipindua meza za wabadili fedha, na viti vyao waliokuwa wakiuza njiwa; akawaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala; bali ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.

Soma Mathayo 21

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 21:12-13