Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 14:18-19

Mathayo 14:18-19 BHN

Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.” Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akavibariki. Halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 14:18-19