Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 8:40-42

Luka 8:40-42 BHN

Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea. Hapo akaja mtu mmoja aitwaye Yairo, ofisa wa sunagogi. Alijitupa miguuni pa Yesu, akamwomba aende nyumbani kwake, kwa kuwa binti yake wa pekee, mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa anakufa. Yesu alipokuwa akienda, watu wakawa wanamsonga kila upande.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 8:40-42