Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 4:1-4

Luka 4:1-4 BHN

Yesu alitoka mtoni Yordani akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akaongozwa na Roho mpaka jangwani. Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa. Ndipo Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.” Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 4:1-4