Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 4:1-4

Luka 4:1-4 SRUV

Na Yesu, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho kwa muda wa siku arubaini nyikani, akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; na zilipotimia, aliona njaa. Ibilisi akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate. Yesu akamjibu, Imeandikwa ya kwamba mtu hataishi kwa mkate tu.

Soma Luka 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 4:1-4